MAFUNDISHO YA NDOA
UTANGULIZI:
Hadhi
na heshima ya ndoa inaendelea kushuka
katika miaka hii ya Sayansi na Teknologia. Maendeleo makubwa ya Sayansi
yanaonekana duniani na hivyo ingetakiwa pia maisha ya ndoa yastawishwe zaidi
lakini kinyume chake ndiyo mporomoko unaongezeka. Migogoro, Ndoa za
mitara kutengana na kuachana ndiyo mambo yanayosikika kila pande ya
dunia. Watoto wa mtaani wanaongezeka, magonjwa ya kuambukiza yanayosababishwa
na zinaa hata ndani ya ndoa yanasikika.
Swali;
Hali hii itapata uponyaji wapi?
Kupata uponyaji wa jambo hili, ni
kuliponya Kanisa linalohangaika, kwa njia ya Imani thabiti, mafunzo na
mafundisho ya familia, kudumisha utamaduni na mila njema, kuendeleza maadili
mema kuanzia kwenye mizizi (root)
Ndoa ni kuungo bora cha muhimu katika
msingi wa mwanadamu kinachoashiria Umoja,
Upendo, Amani na Utulivu.
Karibuni basi tutafakari pamoja kuhusu Ndoa, uuzuri wake, changamoto
zake na nini cha kufanya katika kuboresha ndoa zetu ili kanisa liweze
kustawi zaidi.
MAANA HALISI YA NDOA:
Maandiko
matakatifu huanza na uumbaji wa mwanaume na mwanamke kwa sura na mfano wa Mungu
na humalizika na maono ya “arusi za mwanakondoo” (Uf. 19:9). Hivyo tunaweza
kusema ndoa ni muunganiko wa mwanamke na mwanaume kwa hiari na kufuata
utaratibu wa Kanisa. Wito wa ndoa umeandikwa katika maumbile yenyewe ya
mwanaume na mwanamke kama walivyo toka mikononi mwa muumbaji.
Mwanaume na mwanamke waliumbwa mmoja kwa
ajili ya mwingine
“Si
vema mtu huu awe peke yake (Mw. 2:18) mwanamke ni nyama na ubavu wa mwanaume.
Asili yao ni moja. Kwa sababu hiyo mwanaume atamwacha Baba yake na Mama yake
naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja (Mw. 2:24). Hata wamekuwa si
mwili tena bali mwili mmoja” (Mt. 19:6).
Vurugu,
ghasia zote za ndoa
zimetawaliwa na dhambi ya mwanzo iliyovunja uhusiano wa asili wa Mume na Mke kama tokeo la kwanza. Mahusiano hayo yameharibiwa na
kulaumiana kati yao (Mw. 3:12) mvuto kati yao, kipaji chao toka kwa Muumba
chabadilika kuwa mahusiano ya uonevu
na tamaa mbaya, wito mzuri wa mume na mke wa kuzaa na kuongezeka na wa kuitisha
nchi umegandamizwa na uchungu wa kuzaa na taabu ya kufanya kazi (Mw. 1:28`
3:16-19).
mama
wanapata msisimko palepale na kushuka taratibu na kurudi ni
ngumu
zaidi kuliko wanaume hivyo katika
mahusiano ya ndoa inapaswa mwanamke aandaliwe vizuri tena kwa muda mrefu.
Kwa kadiri utakavyofanya mapenzi na mke
wako ndivyo unadhihirisha upendo wa kweli kadiri ya muda unavyoenda na kadiri
utakavyoendelea kumsoma mkeo.
Muhimu ni kuwa mkweli na muwazi kwa (Be
honest), katika mahusiano ya kindoa usijiangalie wewe peke yako bali umuone na
mwenzi wako. Kila mmoja anahitaji.
Kuna msemo usemao “Wakina mama wengi
hawana hamu ya kufanya mapenzi (frigiolity),!
Inawezekana lakini kiukweli ni kiasi
kidogo sana. Mwanaume unaweza kumfanya mkeo awe hivyo. Ubinafsi na kutokujua
(Ignorance) kwa mwanaume kunaweza kumkosesha furaha mkeo maisha yake yote.
Kuepukana na hilo mambo mawili yafanyike:
1.
Hakikisha
kuna upendo wa dhati (AGAPE) hata
kitandani; ‘Agape ni upendo unaotafuta furaha kwa kutoa na kupokea. Kuondoa aina yoyote ya ubinafsi katika ndoa.
2.
Kujua
ni kitu gani kinampa mke wako furaha ya kimapenzi na ufanye hivyo. Unaweza
kumfikisha mke wako kileleni…,?? Mjue mkeo vizuri.
Katika mahusiano ya kindoa kwa mwanamke
kuna njia 5 za kufuata ili mkeo afurahie uwepo wako kwako: Kimapenzi..!
1)
Maandalizi.
2)
Mawasiliano
·
Clitons
& Velva (masikio, pua, mapaja, macho, mdomo, shingo, maziwa, mifereji..)
3)
Kuingia
katika kitendo hicho (mapenzi) Sexual Intercourse.
·
Usiharakishe
·
Mpaka
yeye mwenyewe aamue
·
Mpaka
ute utoke
4)
Kufikia
kilele (Orgasn).
·
Mwanaume
once
·
Mwanamke-mara
3 hadi 4
5)
Baada
ya kitendo hicho (real life)-usipumzike mara shukuru, mwonyeshe kwamba
umeridhika.
Tormular; Mwanaume anapenda ili ‘kupata mapenzi’.
Mwanamke
anatoa mapenzi ili ‘kupendwa au kupata upendo’

No comments:
Post a Comment